Posts

Showing posts with the label KITAIFA

*Mdee, Kubenea wakamatwa, Simbachawene atoa neno>>>>Mahakama yakana kuzuia uchaguzi wa Meya Dar Soma Zaidi Hapa>>>>>

Image
Hakimu: Zuio umeya Dar feki *Mdee, Kubenea wakamatwa, Simbachawene neno NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema hakuna amri iliyotolewa kuzuia Uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam uliotakiwa kufanyika Februari 26, mwaka huu. Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Waliarwande Lema, alisema hayo jana alipotakiwa kutoa ufafanuzi kuhusu amri hiyo aliyodaiwa kuito kuzuia uchaguzi huo. “Hakuna amri ya kuzuia uchaguzi wa meya, aliyesema mahakama imetoa zuio ni muongo,” alisema Hakimu Lema. HAKIMU MFAWIDHI KISUTU Awali mapema asubuhi jana, waandishi wa habari za mahakama waliwasili ofisini kwa Hakimu Mkazi Mfawidhi Cysprian Mkeha kutaka ufafanuzi kuhusu zuio linalodaiwa kutolewa na mahakama hiyo kuzuia uchaguzi huo wa meya. Hakimu Mkeha, alisema Februari 25, mwaka huu hadi anaondoka kazini hakukuwa na maombi yoyote yaliyowasilishwa kupinga Uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam. Alisema ...

Halima Mdee Atupwa Rumande......Mahakama yakana kuzuia uchaguzi wa Meya Dar

Image
Wakati mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee akilala rumande akihusishwa na vurugu zilizotokea Jumapili wakati uchaguzi wa meya wa Jiji la Dar es Salaam ulipokwama, Mahakama ya Kisutu imelikana zuio lililotumika kuzuia shughuli hizo.  Uchaguzi huo ulipangwa kufanyika Januari 23, mwaka huu, lakini uliahirishwa ili kuandaa mfumo bora wa upatikanaji wajumbe kutokana na CCM kutaka kuingiza wapigakura nje ya waliotakiwa. Ulikwama tena Februari 8, baada ya Halmashauri ya Jiji la Dar kubaini kasoro ya nyongeza ya majina 14 ya wajumbe kutoka manispaa za Ilala na Kinondoni. Jumapili iliyopita ilikuwa ni mara ya tatu, kukwama tena kutokana na zuio lililosababishwa na kesi iliyofungiliwa na Saad Kimji na Suzan Masawe. Hata hivyo, zuio hilo la muda la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu lililotumika kuahirisha uchaguzi wa meya na naibu meya wa Jiji, uliopaswa kufanyika Februari 27, 2016 limebainika kuwa ni batili. Jana, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu,...

CCM JOTO LAPANDA Wasaliti’ waanza kutumbuliwa bila ganzi

Image
Wasaliti’ CCM waanza kutumbuliwa bila ganzi Huku kukiwa na taarifa kuwa wasaliti wa CCM wanaotarajiwa kutimuliwa wengi ni watu maarufu hasa viongozi wa ngazi za mkoa, tayari viongozi 21 wa Manyara, wameshatumbuliwa majipu bila ganzi. Jumla ya viongozi 21, watatu wakiwa ni wa CCM Wilaya ya Babati Mjini mkoani Manyara na wengine 18 wa ngazi ya kata, wameshaadhibiwa na Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete alichokiita kutumbua majipu bila aibu. Inadaiwa kuwa viongozi hao walikuwa wanamshabikia aliyekuwa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa. Imedaiwa ushabiki ulisababisha CCM ipoteze jimbo na kata tano kati ya nane za Babati Mjini. Katibu wa CCM mkoani Manyara, Ndeng’aso Ndekubali aliwataja waliofukuzwa uanachama kuwa ni wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa, Cosmas Masauda, Zulekha Mohamed na mjumbe wa mkoa, Felix Kivuyo. “Hawa wamefutwa uanachama baada ya kudaiwa kukisaliti chama kwa kuwapigia kampeni wagombea wa vyama vya upinzani na kuwaombea kura kwenye Uchaguzi...

Wabunge wameitaka serikali kuhakikisha kuwa inaweka msisitizo katika suala la utawala bora.

Image
Wabunge wameitaka serikali kuhakikisha kuwa inaweka msisitizo katikasuala la utawala bora kama inania ya dhati ya kulifikisha taifa katika mpango wake iliyojiwekea sambamba na kuhakisha kuwa, uwekezaji unazingatia taratibu na sheria zilizopo. Wakichangia katika mjadala huo ambao unaingia siku ya tatu Mh Saidi  Kubenea mbunge wa Ubungo alisema katika bunge la kumi moja ya mambo makubwa yaliyoamu liwa ni sakata la fedha za Escrow lakini yapo maamuzi  ambayo hadi sasa hayajafanyiwa kazi na hivyo dhana ya utawla bora inakuwa haipo.   Aidha Mh Mbaraka dau mbunge wa Mafia amesema kuna visiwa vya Shungilimbili ambavyo wameuziwa wawekezaji kinyume na taratibu huku mh Jerome Bwanausi mbunge wa Lulindi akitaka watendaji kuwa wabunifu wa vyanzo vya mapato.   Awali katika mjadla huo Mh John Heche mbunge wa Tarime vijijini alisema kitendo cha polisi wa kutuliza ghasia kuingia ndani ya ukumbi wa bunge kuwadhibiti hakikuwa sahihi.   Kaul...

Katibu Mkuu wa Zamani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa ametoa majibu kuhusu taarifa zinazoandikwa>>> Soma Zaidi Hapa

Image
Katibu Mkuu wa Zamani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa ametoa majibu kuhusu taarifa zinazoandikwa kwenye baadhi ya magazeti nchini pamoja na mitandao kuwa nyumba yake iliyoko Mbezi jijini Dar es Salaam inauzwa baada ya kushindwa kulipa mkopo wa Benki ikidaiwa kuwa mkewe aliuchukua na kumpa mwanaume mwingine. Taarifa hizo zilieleza kuwa Mke wa Dk. Slaa, Josephine alichukua mkopo wa shilingi milioni 300 katika moja kati mabenki nchini na kushindwa kuirudisha fedha hiyo. Dk. Slaa ambaye yuko nchini Canada akijiendeleza kimasomo, amekanusha taarifa hizo na kueleleza kuwa yeye na mkewe Josephine hawajawahi kuchukua mkopo katika benki yoyote nchini. “Nataka nikuambie na uwajulishe Watanzania kwamba wala si mimi Dk. Slaa wala mke wangu, Josephine kwa wakati wowote ule hatujawahi kuchukua mkopo benki,” Dk. Slaa aliliambia gazeti la Mtanzania kwa njia ya simu. “Tangu nitoke Bungeni sijawahi kuchukua hata senti moja benki, achili...

Je WAJUA >>>>>Huyu Ndio Mke Wa RAISS ANAETUMIA MKONO WA KUSHOTO KUANDIKA>>> Mjue HAPA>>>

Image
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli.                                                                                       Mke wa Rais Wa Awamu ya Nne Tanzania Kuwa Kwanza Kutumia Mkono Wa Kushoto Kuandikia                                                              ...

Mgogoro kuhusu kurudiwa kwa uchaguzi viswani Zanzibar unazidi kupasua nchi, sasa viongozi wa Dini ya Kiislam wametofautiana. Sheikh Ponda Issa Ponda Apinga Uchaguzi Kurudiwa Zanzibar

Image
Mgogoro kuhusu kurudiwa kwa uchaguzi viswani Zanzibar unazidi kupasua nchi, sasa viongozi wa Dini ya Kiislam wametofautiana. Ikiwa ni siku moja baada ya Alhad Mussa Salum ambaye ni Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam kuunga mkono Tume ya Uchaguzi wa Zanzibar (ZEC) kutangaza tarehe ya uchaguzi visiwani humo, Jumuiya ya Taasisi za Kiislam Tanzania imepinga. Sheikh Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu nchini katika mkutano wake na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam amesema, kuruhusu kurudiwa kwa uchaguzi visiwani humo ni kupandikiza mbegu za chuki kwa wananchi. Sheikh Ponda amesema kuwa uchaguzi uliofanyika Oktoba mwaka jana haukuwa na mashaka kwa kuwa, waangalizi wa nje pia walithibitisha hilo. “Ripoti za waangalizi wa ndani na nje zilithibitisha kuwa uchaguzi haukuwa na dosari. Kuna sababu gani ya kurudia uchaguzi,” amehoji Sheikh Ponda. Wakati Sheikh Ponda akihoji sababu za ZEC kutaka kurudiwa kwa uchaguzi huo, Sheikh Alhad al...

The government has challenged Kigoma Urban MP, Zitto Kabwe, to submit any report on the USD 80million corruption scandal involving Stanbic Bank that has seen the country recover only USD 6million for further legal actions against the financial institution.

Image
Kigoma Urban MP, Zitto Kabwe                   The government has challenged Kigoma Urban MP, Zitto Kabwe, to submit any report on the USD 80million corruption scandal involving Stanbic Bank that has seen the country recover only USD 6million for further legal actions against the financial institution.   Attorney General (AG), George Masaju, made the remarks in Parliament on Monday, stating that the government was ready to involve both local and international legal experts to file a criminal case against the bank if it got a detailed report from the legislator.   “If the legislator has a good report that can help us take further action against the bank, I request him to bring it to the government to enable us take legal measures,” said the AG.   He said the Serious Fraud Office (SFO) in England agreed with the bank on repayment, failure of wh...

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imevipa siku saba vyama 14 vya siasa kuthibitisha kama vitashiriki uchaguzi wa marudio utakaofanyika Machi 20 mwaka huu.

Image
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imevipa siku saba  vyama 14 vya siasa kuthibitisha kama vitashiriki uchaguzi wa marudio utakaofanyika Machi 20 mwaka huu.   Vyama hivyo, kikiwamo cha CUF,  ndivyo vilivyosimamisha wagombea wa nafasi za urais, uwakilishi na udiwani katika majimbo 54 Unguja na Pemba katika Uchaguzi wa Oktoba 25, mwaka jana, kabla ya matokeo kufutwa na ZEC.    Uchunguzi wa Nipashe mjini Zanzibar umebaini kuwa wagombea wote tayari wamepewa mwongozo kupitia barua ya Januari 25, mwaka huu, na kutakiwa kuthibitisha kama vitashiriki uchaguzi wa marudio kuanzia kesho hadi Februari 11, mwaka huu.    Mwongozo huo umetolewa na Mkurugenzi wa ZEC, Salum Kassim Ali, na unavitaka vyama hivyo kuthibitisha ushiriki wao kwa maandishi.   Mkurugenzi huyo amesema kuwa tarehe ya kufanyika uchaguzi  imetangazwa rasimi katika gazeti la serikali ta...

Chadema yamtaka Lubuva kuwa mkweli SoMA Zaidi Hapa>>>

Image
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Damian Lubuva.   Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemtaka Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Damian Lubuva, kuwa mkweli na kuacha kuudanganya umma juu ya kuingiliwa kwa tume wakati wa Uchaguzi Mkuu.   Taarifa ya chama hicho kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana jijini Dar es Salaam na Meneja Mawasiliano, Tumaini Makene, imeeleza kuwa kuingiliwa kwa tume siyo lazima kuwapo maelekezo maalum yanayotolewa wazi na kwamba hata kunyimwa bajeti ambayo imepitishwa na Bunge na kuchelewesha utekelezaji wa majukumu ikiwamo vifaa vya BVR ni mojawapo ya dalili za wazi kuwa tume haiko huru.   Alibainisha sifa nyingine kuwa ni kubadilishwa kwa watendaji wa tume katikati ya mchakato wa uchaguzi, kwani wengi walibadilishwa mwezi mmoja kabla ya uchaguzi kinyume cha kanuni za maadili ya uchaguzi.   “Hadi leo Nec imeshindwa kutoa sababu zozote za maana k...

Umesikia hii>>>>>Kigogo bomoabomoa arejeshwa kazini. Soma zaidi Hapa

Image
. Siku chache baada ya Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, kuwasimamisha kazi, vigogo watatu wa Baraza la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc), Kigogo aliyekuwa akisimamia bomoabomoa amerudishwa kazini, imebainika.   Kwa mujibu wa taarifa za ndani zilizolifikia Nipashe zinaeleza kuwa, kigogo aliyerudishwa kazini siku nne tu mara baada ya kusimashwa kazi ni Mwanasheria Mkuu wa Nemc, Heche Suguta.                                                            Baraza la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira(Nemc)   Chanzo hicho kilieleza kuwa, Suguta alirudi kazini Januari 29, siku nne baada ya wizara hiyo kutangaza kumsimamisha kazi ili kupisha uchunguzi...

MPs, local authorities ordered to submit list of land conflicts

Image
Minister for Lands, Housing and Human Settlement Development,  William Lukuvi. All Members of Parliament have been tasked to submit a list of land conflicts in their various constituencies to the Minister for Lands, Housing and Human Settlement Development, William Lukuvi.   The minister has also instructed local government authorities to do the same ahead of his set up of a special team of experts to scrutinize the nature of the conflicts and come up with a lasting solution.   Speaking yesterday in parliament, the minister agreed that there are several land conflicts in the country especially pertaining villages that border forest and game reserves. Similarly, conflicts between farmers and pastoralists that have been recurring and claim lives of many innocent people.    “The new government is determined to end land conflicts once and for all after getting a full list of the trouble areas across the country” said Lukuv...

Probe into 36 grand graft cases 'complete'

Image
Director General for Reli Assets Holding Company (RAHCO) Eng Benhadard Tito        Include, USD6 million in Treasury bond deal    TRL Sh238bn wagon deal, oil firm 8.5bn/- tax evasion    scores of high-profile traders and senior public officials are to face legal action following   completion of a probe into 36 grand corruption cases.         The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) yesterday reported that it has completed investigations of 36 grand corruption cases and has already submitted four of them to the Director of Public Prosecutions (DPP).     Speaking to reporters in Dar es Salaam, PCCB Acting Director General Valentino Mlowola said the cases involve high profile businessmen and senior public officials.    He said the submitted cases include a tax evasion case levied against a prominent oil firm that is accused of causing the gove...

'CUF, CCM divide worsening Isles' social rift'

Image
Political Scientist Benson Bana                      Unless both CUF and CCM take part in the March repeat of Zanzibar elections or settle on a mutually agreed way forward, a cross-section of political analysts warn the people of the Isles will be divided further.   “If CUF boycotts the rerun as the party has already indicated, it will be difficult for CCM to form a legitimate Government of National Unity (GNU) widening the already existing party line rift among Zanzibaris,” University of Dar es Salaam’s Political Science Lecturer Bashiru Ally told The Guardian yesterday in Dar es Salaam.    He said if CUF boycotts the re-run, it will be difficult for any party that wins to form a Government of National Unity (GNU). Bashiru said the section that provides for the Government of National Unity in Zanzibar’s Constitution cannot be amended ...

14 parties want Parliament to discuss Zanzibar impasse

Image
Zanzibar Electoral Commission (ZEC) chairman, Jecha Salum Jecha              POLITICAL parties which have no lawmakers in the House have called for a thorough discussion on the political impasse in the isles instead of delving on the Tegeta Escrow scandal.   At least fourteen political parties that took part in the last year’s polls have openly protested the decision announced by Zanzibar Electoral Commission (ZEC) chairman, Jecha Salum Jecha, to set a date for re-running elections in the Isles following after he nullified the results in late October.   At the moment the parties have joined the movement by Zanzibar’s main opposition party, the Civic United Front (CUF), which has claimed lead in the embattled elections.   During a meeting with journalists on Monday in Dar es Salaam, all the secretaries general of parties with no representatives in the National Assembly sa...

Mzee wa Vijisenti (CHENGE) Escrow yamlipukia bungeni. Soma Zaidi HAPA

Image
Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge.            Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, jana alipata wakati mgumu Bungeni mjini hapa, baada ya wabunge wa upinzani, kumbana kwa maswali juu ya kashfa ya Tegeta Escrow, iliyoibuliwa  wakati wa Bunge la 10.   Chenge alikutwa na masahibu hayo wakati wa kujieleza na baadaye kuulizwa maswali alipokuwa akiomba kura kwa ajili ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa bunge. Mwanasheria huyo mkongwe alipendekezwa na Kamati ya Uongozi wa Bunge kuwania nafasi hiyo.   Baada ya kujieleza ili kushawishi wabunge wamchegue katika nafasi hiyo, ulifika wakati wa maswali ambapo wapinzani walimuuliza kuhusu kashfa ya Tegeta Escrow.   Hatua hiyo ilisaababisha kuchafuka kwa hali ya hewa ndani ya bunge baada ya kuibuka zomeazomea kati ya wabunge wa CCM waliokuwa wakipinga baadhi ya maswali ya wale wa upinzani walioonekana kumkamia Cheng...

Umesikia Hii>>>Mbowe ahoji askari wa Bara kupiga kura Z'bar. Soma Zaidi Hpa>>>>ki

Image
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,  Freeman Mbowe.   Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amehoji kitendo cha kuchukuliwa kwa askari wa Tanzania Bara na kupelekwa Zanzibar kwa ajili ya kupiga kura.   Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Mbowe ambaye ni Mbunge wa Hai (Chadema), alisema kumekuwapo na utamaduni wa kuwatumia askari kutoka Tanzania Bara na kuwapeleka Zanzibar na kuwaandikisha wakati wa uchaguzi ili kuwatumia kupiga kura katika mazingira ambayo hayapo wazi.   “Je, waziri una taarifa ya upelekaji wa vikosi Zanzibar kwa jukumu moja la kupiga kura na baada ya hapo wanarudishwa bara?,” alihoji Mbowe.   Akijibu swali hilo, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussen Mwinyi, alisema jambo hilo haliwezekani kwani utaratibu wa kupiga kura upo wazi na unaeleweka.   ”Huwezi kwenda leo Zanzibar na kuandikishwa kupiga kura, lazima uwe ni Mzanzibari mkazi, hilo lipo na ushahidi tu...

Chadema yalaani vurugu chaguzi za meya, wenyeviti halmshauri.

Image
  Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa  (Tamisemi), George Simbachawene. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelaani vurugu zinazoendelea kutokea katika chaguzi za kuwapata wenyeviti wa halmashauri na mameya maeneo mbalimbali nchini.   Pia kimemtaka aliyesimamia uchaguzi wa Mwenyekiti wa Halmashauri Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro, Yahya Nania, kuonyesha barua iliyotoka kwa Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Simbachawene, inayosema kuwa Peter Lijualikali haruhusiwi kupiga kura katika halmashauri hiyo wakati ni Mbunge wa       Jimbo la Kilombero.                                                            Chadema kimeonya asipofanya hivyo kitamshitaki mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka ...

WhatsApp Skype Zaleta Mvutano Afrika Kusini>>> Soma Zaidi HAPA>>

Image
Mvutano kuhusu WhatsApp Afrika Kusini                                                                                             Kampuni kubwa za kutoa huduma za mawasiliano nchini Afrika Kusini zimeitaka tume inayoisimamia mawasiliano ya nchi hiyo kudhibiti matumizi ya programu za mawasiliano ya mitandao ya kijamii kama vile WhatsApp na Skype. Maafisa wakuu wa kampuni ya MTN na Vodacom walifika mbele ya kamati ya bunge la Afrika Kusini wakitaka huduma ya bei nafuu ya intaneti i...

Beaking>>+ News >>Nigeria: Milipuko yaua watu Chibok

Image
Baadhi ya watu waliojeruhiwa wakipokea matubabu kufuatia shambulio la bomu la siku za nyuma nchini Nigeria                                                                                                                                          Watu 13 wameuawa nchini Nigeria baada ...