Posts

Showing posts with the label SPORTS

Like father like son, cheki video ya mtoto wa Zidane akimpiga kichwa mchezaji wa timu pinzani …

Image
Mwaka 2006 staa wa soka wa kimataifa wa Ufaransa mwenye asili ya Algeria Zinedine Zidane aliingia katika headlines wakati wa mchezo wa fainali ya michuano ya Kombe la Dunia 2006 katika mchezo dhidi ya Italia , Zidane aliingia katika headlines baada ya kumpiga kichwa  Marco Materazzi  kutokana na kutolewa kauli ambayo hakuipenda. Kuna msemo unasema like father like son , mtoto wa staa huyo anayeichezea timu ya vijana wenye umri chini 17 ya Real Madrid   Luca Zidane ameingia katika headlines za baba yake baada ya kuoneshwa kadi nyekundu katika mchezo wa Real Madrid dhidi ya wapinzani wao wa jadi Atletico Madrid kwa tukio kama alilofanya baba yake, mchezo ambao ulimalizika kwa Real Madrid kufungwa goli 4-2. Zidane ana watoto wanne ambao wote wanacheza soka Enzo (20) ndio mkubwa yupo Real Madrid Castilla ,  Theo , Elyaz pamoja na Luca ambaye anacheza nafasi ya golikipa na ndio aliyofanya tukio kama la baba yake. Video ya tukio la Zinedin...

UNA YAJUA Magoli matatu yaliofanikiwa kuingia fainali ya goli bora la mwaka 2015 la FIFA? na Messi yupo (+Video)

Image
Baada ya November 7 shirikisho la soka ulimwenguni FIFA kutangaza magoli 10 yaliofanikiwa kuingia katika mchujo wa kuchagua goli bora la mwaka 2015, November 30 ndio siku ambayo yachujwa na kubakia magoli matatu pekee ambayo January 11 2016  Zurich Uswiss   wakati wa utoaji wa Tuzo ya Ballon d’Or ndio litatangazwa goli bora kwa mwaka 2015. Lionel Messi Wachezaji watatu ambao magoli yao yamefanikiwa kuingia katika hatua hiyo ni  Alessandro Florenzi kutokea AS Roma , Lionel Messi wa FC Barcelona na Wendell Lira wa klabu ya  Vila Nova . Alessandro Florenzi Wendell Lira Video ya goli la W endell Lira Video ya goli la  Alessandro Florenzi Video ya Lionel Messi

Real Madrid wafuta machungu ya El Clasico kwa kuifunga Eibar, haya ndio matokeo kamili (+Pichaz&Video)

Image
Baada ya Jumamosi ya November 28 klabu ya FC Barcelona kushuka dimbani kucheza mchezo wake 13 dhidi ya Real Sociedad  na kuibuka na ushindi wa goli 4-0, November 29 ilikuwa zamu ya wapinzani wao wa jadi klabu ya Real Madrid ya Hispania ambao wao walilazimika kusafiri hadi dimba la Municipal de Ipurúa kucheza na klabu ya  Eibar . Real Madrid ambayo ilikuwa ugenini na wachezaji wake nyota kama Cristiano Ronaldo na Gareth Bale ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya wenyeji wao klabu ya Eibar , licha ya kuwa Real Madrid hawana kumbukukumbu nzuri katika mchezo wao wa El Clasico uliyochezwa weekend iliyopita, ilifanikiwa kuondoka na point 3 na kufanya tofauti yake na FC Barcelona kuwa ya point 6. Hata hivyo ushindi walioupata Real Madrid haukuwa mwepesi kwani klabu ya  Eibar ilikuwa imefanikiwa kuwadhibiti Real Madrid hadi dakika ya 43 ndio Gareth Bale akafanikiwa kufunga goli la kwanza, goli la pili la Real Madrid lilifungwa kwa mkwaju wa p...

Kama Real Madrid watamuuza Cristiano Ronaldo, unajua Rafael Benitez atasemaje? …

Image
Kama Real Madrid watamuuza Cristiano Ronaldo, unajua Rafael Benitez atasemaje? ....   Headlines nyingine za soka kutoka Hispania zinazo muhusu staa wa soka wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo na kocha wa klabu yake Rafael Benitez zimenifikia November 29 ,  kuhusu wawili hao ambao wamekuwa wakihusishwa kutokuwa na mahusiano mazuri kwa siku za karibuni na sababu zimekuwa zikitajwa tofauti tofauti. Stori kutoka mtandao wa mirror.co.uk zinataja kuwa kocha wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez hatolalamika wala kuchangia chochote kama Real Madrid wataamua kumuuza Ronaldo , hizi ni stori za uchunguzi ambazo pia zinadhiirisha kuwa wawili hao hawapo vizuri kwani kwa nyota kama Ronaldo kuondoka katika klabu fulani na kocha wake akubali kirahisi huwa ni ngumu sana.

Man United yashindwa kuondoka na point 3 mbele ya Leicester City, matokeo ya EPL Nov 28 (+Pichaz&Video)

Image
November 28 mtu wangu wa nguvu unayependa soka la Ulaya hususani Ligi Kuu Uingereza , ninazo headlines Za matokeo ya mechi za leo November 28, Ligi Kuu Uingereza November 28 imepigwa michezo sita ya muendelezo wa Ligi hiyo kwani ni mechi ambazo zitafanya kila timu iliyocheza leo kutimiza idadi ya mechi 14 kwa msimu wa 2015/2016. Miongoni mwa mechi zilizochezwa November 28 ni mechi kati ya  Leicester City dhidi ya Manchester United , mchezo uliyopigwa katika dimba la King Power Stadium , mchezo huo ambao unatajwa kuhudhuriwa na watu zaidi ya  30000, ulikuwa mgumu kidogo kwa Man United kwani dakika ya 24  Jamie Vardy  alianza kupachika goli la kuongoza kwa  Leicester City goli la kwanza. Man United walipata nafasi ya kusawazisha goli dakika ya 45 kupitia kwa kiungo wake wa kimataifa wa Ujerumani   Bastian Schweinsteiger , licha ya kuwa Man United walionesha jitihada za kutaka kupata ushindi ili waweze kufikisha point 30 na...

Kipigo cha Madrid cha 4-0, Barcelona wamekiamishia kwa Real Sociedad, Full Time ya LALIGA Nov 28 (+Pichaz&Video)

Image
Kipigo cha Madrid cha 4-0, Barcelona wamekiamishia kwa Real Sociedad, Full Time ya LALIGA Nov 28 (+Pichaz&Video) Mtu wangu wa nguvu November 28 zilipigwa mechi kadhaa kali barani Ulaya ila kwa upande wa Ligi Kuu Hispania mchezo wa kwanza kupigwa November 28 ulikuwa ni mchezo wa FC Barcelona ambao walishuka katika dimbani lao na Nou Camp  kuikaribisha  Real Sociedad iliyokuwa nafasi ya 14 katika msimamo wa Ligi Kuu Hispania (LALIGA) . Kama ilivyo kawaida yao FC Barcelona waliendelea kuutawala mchezo kwa asilimia kubwa kuzidi  Real Sociedad ambao hadi dakika ya 70 walikuwa wana wastani wa asilimia 49 ya kumiliki mpira. FC Barcelona walianza kwa mashambulizi kwani dakika ya 13 Andre Iniesta alipiga kichwa kikagonga mwamba. Mambo yalianza kuwa mabaya kwa upande wa  Real Sociedad baada ya Dani Alves kutoa pasi ya goli na Neymar kupachika goli la kwanza kwa FC Barcelona dakika ya 22, dakika nne kabla ya kwenda mapumziko Dani Alves alitoa pa...

Hii ni good news kwa Neymar na bad news kwa Cristiano Ronaldo, baada ya Neymar kutangazwa kumzidi Ronaldo…

Image
Licha ya kuwa mwaka 2015 staa wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo kufanya mipango yake mingi na kwa asilimia kubwa kufanikiwa, miongoni mwa ishu alizofanya Cristiano Ronaldo  kwa mwaka 2015 ni kuzindua movie ya maisha yake halisi, perfume, viatu vyake lakini hii sio taarifa njema kwake. November 27 kutoka El Economista  wametangaza kuwa kampuni ya vifaa vya michezo ya kimarekani Nike imetangaza kumtaja staa wa FC Barcelona Neymar kuwa ndio staa namba moja kwa sasa anayeuza brand ya bidhaa zao, rekodi ambayo ilikuwa inashikiliwa na Ronaldo kwa miaka kadhaa ila November 27 Neymar ndio ameandikwa kumzidi Ronaldo . Stori kutoka 101greatgoals.com inatajwa kuwa Neymar kwa mwaka 2016 ndio anatazamiwa kuwa staa atakayefanya vizuri kwa mauzo ya Nike na ndio maana kwa sasa anatajwa kuwa namba moja na Ronaldo kushuka, licha ya kuwa Ronaldo amefanya vizur...

Drogba sasa alenga kuchukua mikoba ya Mourinho

Image
Mshambuliaji wa Ivory Coast Didier Drogba akichapa mpira mbele ya rais wa klabu ya Montreal Joey Saputo (kushoto) Julai 29, 2015 mjini Montreal. Picha/AFP  Imepakiwa - Thursday, November 26  2015 at  13:28 Kwa Mukhtasari Mshambuliaji Didier Drogba analenga wadhifa wa Kocha Mkuu katika klabu yake za zamani Chelsea. MSHAMBULIAJI Didier Drogba analenga wadhifa wa Kocha Mkuu katika klabu yake za zamani Chelsea. Drogba, ambaye wakati huu anacheza kandanda ya malipo nchini Canada, anasema ameafikiana na waajiri wake wa zamani kurudi Stamford Bridge kama kocha atakapotundika daluga zake. Raia huyu wa Ivory Coast alipachika mabao 164 alipokuwa Chelsea. Katika mahojiano na shirika la BBC, mchezaji huyu mwenye umri wa miaka 37 alisema, “Nataka kusaidia klabu ambayo imenijenga sana. Nimekubaliana na wakurugenzi wa Chelsea.” “Mbona nisiwe kocha? Mbona siyo mkurugenzi, mkufunzi katik...

Kenyan News » Kenyans Troll Tanzania After Their National Football Team Was Beaten 7-0 By Algeria.

Image
The good old book says, troll not, the speck in your brothers eyes, but worry much about the log in yours.  Kenyans are quite the forgetful lot, for years now we cant even remember when Kenyan last won a decent football match. Anyway, even with the losses at least we didn't concede a 7-0 defeat. Last night was a bad one for Tanzania after they suffered a humiliating defeat against Algeria who pulverized them a humbling 7-0 .  Some tweeps even recommended that the players be punished by whipping for being a disgrace to Tanzania