Posts

Showing posts with the label News

Mwenyekiti wa Tume ya uchunguzi Uvamizi wa Clouds atishiwa Maisha

Image
Mwenyekiti wa Kamati wa Uchunguzi wa Tukio la uvamizi wa kituo cha Habari cha Clouds Televisheni, Deodatus Balile ametishiwa maisha na kudukuliwa mawasiliana. Balile kwenye akaunti yake ya Facebook, ametanabaisha mbinu zilizokuwa zikitumiwa na watu wenye nia ovu naye kwa kudukua mawasiliano yake. Balile ameleeza kuwa mawasiliano hayo yaliingiliwa mpaka kwenye shughuli za Ofisi Balile  pia ni Mkuregenzi Mtendaji wa Gazeti la Jamhuri "Juzi mawasiliano ya ofisini kwetu yalidukuliwa. Makala inayopaswa kusomwa kesho, waliojiteua kuwa wasaidizi wa aliyetaka nimwombe radhi kwa kufanya kazi niliyotumwa mchana kweupe, wametamba kuwa wanafuatilia maisha yangu hadi uvunguni mwa kitanda changu" amesema Balile. Nimeona nisali kwa sauti sala hii, ili nikipotea, hawa wasaidie kutoa majibu nilipo. Nimeambatanisha baadhi ya meseji zao za udukuzi kwangu.

Npe Amemjibu Makonda, Picha Limeanza Upyaaa

Image
  Siku moja baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kuhojiwa na kituo cha Star Tv kuhusu mambo kadha wa kadha likiwemo suala la uvamizi wa Clouds Media na kusema Hakupaswa kumuingilia kwakuwa wote ni watumishi... Basi Nape amemjibu hivi... "Niliunda Kamati Kuchunguza TUKIO LA KUVAMIWA KITUO CHA UTANGAZAJI sio kumchunguza RC.Kama RC alikuwa mmoja wa wavamizi, HAYUKO JUU YA SHERIA!‬"

The government denied Deserted Empty Treasury and the President

Image
The government has denied information distributed by some media that former President Dr phase four. Jakaya Mrisho Kikwete had scratch silver treasure and leaving the government without any passage. That has been said in Dar es Salaam and Budget Commissioner from the Ministry of Finance Bwa. John Cheyo while urging the public to ignore such information as devoid of any truth. "Treasury has potentials enough money and we are proud to make this year's elections, purchase machines BVR with funding of Tanzanians would not expect any help from abroad to lend to students of higher education this year" said Mr.. Molar. He also added that the government continued to finance various development projects including the construction of a gas pipeline which has been completed recently, gas processing mills and road construction in the country. He added that the system of government budget planning allows the government spending priorities according to the budget planned where ...