Posts

Showing posts with the label mapenzi

MADHAIFU MATANO (5) YANAYODIDIMIZA MAHUSIANO NA NDOA

Image
Makala hii ni tafakari huru kuhusu mambo ya msingi katika mahusiano.   Hapa utapata tafakari ya maana ya maneno na imani ambazo zinatutatiza wengi wetu. 1. Mchanganyiko mkubwa kuhusu maana ya mahusiano, mapenzi na ndoa: Labda kipengele hiki tuanze kwa kueleza kuwa kunaweza kuwepo ndoa, lakini yasiwepo mahusiano wala mapenzi. Inaweza kuonekana kama inachanganya kidogo, lakini ndio ukweli wenyewe.   Ndoa ni namna tuu ambayo wawili walio kwenye mahusiano wanaamua kuwataarifu rasmi watu wengine kuwa wao wapo rasmi katika mahusiano.  Ndoa ni kiapo mbele ya watu wengine , na ni namna ya kutaka kumuhakikishia mwenza wako kuwa endapo kiapo hicho kitatokea kuvunjika, basi unakubali rasmi kuwajibika kwa mujibu wa taratibu zilizopo za ndoa husika, ikiwemo kukubali kuitwa kwenye mabaraza ya usuluhishi, kugawana mali, n.k. Na kwa upande wa kiroho, inabeba maana zaidi kuwa unaweka kiapo kwa Mungu wako kuwa utalinda mahusiano yako na huyo unayemchagua.  Hivyo basi, ndoa haijengi ma...

Fahamu Jinsi ya kusisimua mapenzi msimu huu wa Krismasi

Image
Jinsi ya kusisimua mapenzi msimu huu wa Krismasi Wachumba wakifurahi pamoja wakiwa kitandani. Kwa Mukhtasari Msimu wa Krismasi umefika tena ambapo wapenzi hupumzika pamoja baada ya mwaka mzima wa pilkapilka za maisha. MSIMU wa Krismasi umefika tena ambapo wapenzi hupumzika pamoja baada ya mwaka mzima wa pilkapilka za maisha. Ni msimu ambao wapenzi wanaweza kutumia kunogesha mapenzi ambayo wakati mwingine huingia doa kwa sababu tofauti. Wataalamu wa mapenzi wanasema kuna njia nyingi za kukoleza mapenzi msimu huu. Hata hivyo, wanaonya kwamba baadhi ya watu huishia kuvuruga uhusiano wa mapenzi badala ya kutumia msimu huu kuurutubisha. Kwenye kitabu chake kuhusu uhusiano wa kimapenzi Dating in the High Season, mwandishi Peter Owen, aliye mtaalamu wa masuala ya mahaba aeleza kuwa watu wanaotumia msimu wa she...

Njia 9 Unazohitaji Kutumia Kumtongoza Mwanamke Ambaye Hamko Ligi Moja Naye

Image
Ni mwanamke ambaye akiingia mahali kila kitu kinasimama na kumuangalia yeye. Kila akipita watu wanamkodolea macho ya kuingiwa na tamaa. Kila anapotembea unajiskia dunia yote ikikuzunguka kichwani. Kiufupi ni mwanamke mrembo unayemzimia kiasi cha kuwa unashindwa kumtongoza. Kama wanaume wengine, unashindwa kumtongoza kwa sababu anaoneka level nyingine, yaani ni tofauti kabisa na mwanamke wa kawaida. So utafanya nini ili kumpata mwanamke kama huyu? Usikate tamaa kwani kama mwanaume yeyote, pia wewe una nafasi bora ya kumnyakua mwanamke huyo na kumfanya wako kabisa. Ujanja ni kufuata haya maagizo ambayo yamefanyiwa utafiti na kudhibitishwa kuwa yanafanya kazi asilimia mia moja. Zifuatazo ni jinsi ya kutongoza mwanamke aina hii: 1. Kuwa na sababa za uhakika Kabla kuanza chochote, unafaa kujiuliza kwa nini unataka kumtongoza huyo mwanamke. Najua hautaki kumtongoza kwa sababu ya umbo lake ama unataka kujionyesha kuwa wewe ni bingwa kutongoza mademu warembo zaidi manake ukifanya hi...

JE WAJUA Jinsi Ya Kujizuia Kutofanya Mapenzi Katika Mahusiano Mapya HADI SIKU YA KUOANA?

Image
Jinsi Ya Kujizuia Kutofanya Mapenzi Katika Mahusiano Mapya HADI SIKU YA KUOANA    Kuingia katika mahusiano mapya ya kimapenzi huwa ni furaha na kuchanganya pia. Unaingiwa na hisia ambazo hujawahi kuwa nazo na pia kupenda kwa dhati. Mpenzi wako anakufurahisha na wewe pia unamfurahusha. Lakini inaweza kutokezea sitofahamu wakati ambapo wewe hutaki ama hujisikii kufanya mapenzi lakini yeye akawa na hamu ya kufanya tendo hilo. Sababu zozote zile uko nazo, una haki ya kujizuia kutofanya tendo la ngono mpaka ile siku ambayo utajiskia kuwa umefikia siku yako ( NDOA ). Mwili ni wako na maamuzi ni yako.     So utafanyaje umzuie mpenzi wako kutofanya ngono na wewe? Mambo ya kufanya kumzui mpenzi wako kutofanya mapenzi nawe 1. Usilale kwake Iwapo hautaki kufanya mapenzi na mpenzi wako, basi ni vizuri usijiingize katika hali ambazo zitachangia nyinyi wawili kuingiwa na hamu ya mapenzi. Iwapo umetoka deti na mpenzi wako, usijaribu kumsindikiza hadi kwake ama kuenda nji...

Mapenzi » Mpenzi Wangu Ananinyonya Nyuma..Sipendi Nashindwa Nimzuie Vipi..Ushauri Please

Image
Mpenzi Wangu Ananinyonya Nyuma..Sipendi Nashindwa Nimzuie Vipi..Ushauri Please Mimi nimeolewa miaka 8 iliyopita nna watoto watu na mume wangu nnampenda na yeye ananipenda niliolewa nikiwa na miaka 19 ni hadith ndefu naomba uchukuwe muda kuisoma, aliniona through family friend akanipenda na mimi sikuona vibaya kuolea naye japo amenizidi umri kidogo nilikubali na kusema ndoa siyo jela ntajaribu nikishindwa ntarudi kwetu. siku ya harusi ikafika ndoa ikapita usiku ule wa ndoa tukaenda hotel tulipofika akaniuliza kabla hajaniingili kama nilikuwa bikira au kazi nimeshaianza yeye kanipenda miye na siyo bikira yangu itakavyo kuwa nimeshakuwa mkewe, na mimi I was just 19 at the time na nilikuwa sijawahi kufanya hilo tendo ni msichana nnae penda dini yangu nikawa nasubiri the right man na the right man akaja, basi nikamuambia sijawahi, alinikumbatia for more than 10min akiniambia pole sana ndon't worry every thing will be ok kutokea hapo to cut the story short ilimchukuwa two week kuniingili...

Mapenzi » Unajua Athari za Kuitana Sweet, Dear na Baby Kwa Watu Ambao Sio Wachumba ama Mke na Mume?

Image
Unajua Athari za Kuitana Sweet, Dear na Baby Kwa Watu Ambao Sio Wachumba ama Mke na Mume? BABY ni neno la Kiingereza lenye maana ya mtoto, tena mara nyingi linatumika kwa mtoto mdogo. Pia lina maana nyingine ya mpenzi. Ni neno maarufu sana siku hizi; hata wazee kabisa, utasikia wanaitana baby! Mbali na hilo, yapo maneno mengine kama sweet, dear, honey na mengine mengi. Maneno yote hayo ya Kiingereza, yana maana zaidi ya moja, lakini kubwa zaidi ni kumaanisha mpenzi, mpendwa (hutumika katika kuonesha mapenzi ya dhati kwa mwingine). Leo nataka kukupa kitu kipya kabisa kichwani mwako. Unahitaji utulivu wa hali ya juu ili kujifunza hili. Ni maneno mazuri sana, ya kipekee lakini kwa upande mwingine ni hatari kwa sababu hukaribisha matatizo ambayo hayakutarajiwa na mtumiaji. HUTUMIKA WAPI HASA? “Dear, naomba uniamshe saa 12:00 asubuhi, kesho nina vikao vingi sana asubuhi,” inaweza kuwa kauli ya mume akimwambia mkewe, ambaye naye anamjibu: “Sawa sweet, usijali.” Kwa hakika ndipo se...

» Mapenzi » Media Bar » Slider » Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu.

Image
Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu. Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya: • Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo, • kupendelea sana kuangalia picha za uchi, • Kusahausahau, • Kupendelea story za mapenzi, • Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke), • Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu), • Kuumwa na kichwa, • Kukakamaa mgongo (wanaume), • Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba, • Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency), • Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno, • Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k.

Wataalam Wanashauri: Tuwapige Wake zetu Angalau Mara Moja Kila Mwezi

Image
Wataalam wa mahusiano wanashauri ili mahusiano yadumu vizuri na kwa muda mrefu inabidi mume amuonye mkewe kila siku, amkalipie kila wiki, ampige kofi angalau mara moja kila mwezi, ampige kibano cha maana kila mwaka na amrudishe kwao angalau mara moja kila baada ya miaka mitano. Kwa kufanya hivi uamsha ari na upya wa penzi. Nchi kama Marekani ambao kufanya domestic violence ni kosa kubwa sana ni moja ya nchi zinazoongoza kwa talaka duniani maana wanawake wanaota mapembe na kuona wenzi wao hawawajali lakini sehemu kama mara ni vigumu sana ndoa kuvunjika. Kazi kwenu waoaji na waolewaji kuokoa ndoa zenu

MAMBO YA KUZINGAZITIA UNAPOKUWA CHUMBANI NA MPENZI WAKO

Image
Mambo ya Chumbani hayoooo!! Fahamu mambo 4 muhimu unayopaswa kuyazingatia uwapo chumbani na mpenzi wako mnapotaka kufanya mapenzi 1. WEKEZA MAWAZO YAKO KWA MPENZI WAKO - Pindi uwapo chumbani na mpenzi wako jaribu kuwekeza mawazo yako kwa mpenzi wako ulie nae kwa muda ule, epuka kufikiria mambo ya nje yaliyotendeka usiyape nafasi mawazo yako kufikiria vitu vingine. Unapokuwa chumbani na mpenzi wako jitahidi kuacha mawazo tofauti yasiyohusiana na tukio mnalotaka kulitenda wewe na mpenzi wako hata kama siku hiyo kuna mtu alikuudhi na unahasira au pengine kunajambo lolote limekutokea kwa siku hiyo basi jaribu kuvisahau na mawazo yako yawe katika mazingira mliyopo wewe na mpenzi wako kwani mapenzi ni hisia sasa endapo kama utakuwa upo ndani na mpenzi wako halafu ukaanza kuwa unafikiria vitu vingine itapelekea kushindwa kulifurahia penzi vizuri kwani mawazo yako yatakuwa hayako pale. Hivyo nivizuri kuwa makini na kuziwekeza fikra zako zote katika sehemu husika uliyopo. 2. EPUKA KUPIGA STORY ...