#BREAKING: Wanafunzi wengine watatu wamepoteza maisha leo Geita
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Nimeipata
hii taarifa kutoka mkoani Geita ikieleza kumetokea ajali ya Mtumbwi
ambao ulibeba wanafunzi wa shule ya Ludegea ambapo wanafunzi watatu
wamepoteza maisha baada ya kuzama na wengine 21 wamenusurika.
Imeelezwa kuwa wanafunzi hao walikuwa njiani kuelekea shuleni wakati ajali ya kuzama mtumbwi huo ilipotokea.
KIJIJI CHA GAMBOSHI 'MAKAO MAKUU YA UCHAWI NA WACHAWI' NI MKOA WA SHINYANGA. USIKU YAONEKANA KAMA JIJI LA NEW YORK AU LONDON.WENYEWE WAMWOMBA RAIS KIKWETE, MZEE WA VIJISENTI AKAWASAFISHE. Gari linalokokotwa na ng'ombe katika barabara ya kuelekea kijijini Gamboshi. WAKAZI wa Kijiji cha Gamboshi, kilichopo wilayani Bariadi, Mkoa wa Shinyanga, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasaidie kusafisha kijiji chao kutokana na jina baya lililoenezwa duniani kwamba hapo ni makao makuu ya maovu ya uchawi ulioshindikana. Kijiji hicho ambacho ni nadra sana kutembelewa, kimepata umaaurufu mkubwa ndani na nje ya nchi kikielezwa kuwa ni kitovu cha uchawi na wachawi wanaoweza kufanya miujuza, hali ambayo imekifanya kijiji hicho kupitwa na mkondo wa kimaendeleo. “Sisi ni wakulima wakarimu wa pamba, mahindi na mpunga. Yote mnayoyasikia kwamba sisi ni magwiji wa uchawi ni uvumi uliotiwa chumvi nyingi.Tunamwomba Rais wetu kwakushirikiana na Mbunge wetu,And...
TAZAMA PICHA 30 ZA MREMBO AGNES MASOGANGE AKIJIACHIA KISTAA NJE YA NCHI One cannot tell if two Nigerian music stars are now sharing the same girl on bed going by reports making the rounds. This question is coming after there were indications that Davido and Tekno may be sleeping with the same lady. In November, the Omo Baba Olowo crooner had fun with some girls on his birthday and one of them was Agnes Masogange. She was even rumoured recently to be carrying Davido’s second child, but that was swiftly dispelled. Interestingly, not too long ago, Agnes started posting and deleting clues that she was having an affair with Tekno, allegedly spending time with him in his South Africa hotel room. Tekno posted similar ones with him alone in them, which made his fans conclude that he is dating the girl. But this has made the singer to delete all the clues from his page.
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva ambaye msimu huu ameifungia klabu yake jumla ya mabao 14 amefunguka kwamba, msanii Alikiba anaitendea haki nchi yake ya Tanzania kwa kazi ya muziki ambapo amekuwa akifanya kazi bora zinazoleta sifa kwa nchi. Msuva amesema hayo leo kupitia kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio na kusema yeye anamkubali sana msanii huyo kutokana na uwezo wake kimuziki na namna anavyoweza kuimba vizuri kila apatapo nafasi. "Kwanza naupenda sana ule wimbo wa wale jamaa wa Kenya wameshirikisha Alikiba 'Unconditionally Bae', naukubali ule wimbo sababu watu wamepangilia sana kazi yao mle ndani na unayasikia kabisa, nimependa mavazi ya mule jinsi walivyovaa ni mavazi fulani ambayo yanawakilisha Afrika japo hata watu wa Ulaya wanavaa lakini naona Afrika watu wanapenda sana kuvaa vile" alisema Msuva Msuva aliendelea kutoa ufafanuzi juu ya wimbo huo na uwezo wa Alikiba "Ukisikiliza ule wimbo unaona jinsi ambavyo Alikiba amefanya vi...
Comments
Post a Comment