Will Smith kususia tuzo za Oscars

Will SmithWill Smith asema anamuunga mkono mkewe Jada Pinkett smith kususia onyesho la tuzo la Oscars 2016 
 
Msanii wa Filamu Will Smith amethibitisha kwamba ataungana na mkewe, Jada Pinkett Smith, katika kususia tuzo la Oscars mwezi ujao.

Msanii huyo anayetambuliwa kwa filamu yake ya ''The Men in Black'' amesema itakua "vigumu" kuhudhuria wakati kujna mzozo kuhusu ukosefu wa uwakilishi wa watu wa tambaka mbali mbali katika uteuzi wa tuzo hilo mwaka huu.

" Hatujihisi vizuri kusimama huko na kusema hii ni sawa,"alimueleza mtangazaji wa kipindi cha Good Morning America Robin Roberts.

Will SmithWill Smith alitarajiwa na wengi kuwa katika orodha ya walioteuliwa kuwania tuzo la Oscars mwaka huu 
 
Msanii wa vichekesho Chris Rock anakabiliwana miito ya kumtaka ajiondoe kwenye kazi aliyopewa kama mwongozaji wa taratibu za tuzo la Oscas mwaka huu, huku mzozo huo ukiendelea.

Katika mahojiano yaliyotangazwa Alhamisi Smith alisema uteuzi wa mwaka huu ulizingatia "wamarekani wenye mamlaka" na kwa hilo , "kwa kiwango kikubwa , Hollywood iliunda sura ya kufikirika ya uzuru".

Alipoangalia orodha nzima iliyojaa wazungu pekee walioteuliwa kuwania ushindi wa Oscars, aliendelea kusema, "haikuonyesha dhahiri uzuri huo ."

Chris RockChris Rock anahimizwa asiongoze onyesho la Oscars 
 
Katika mahojiano yaliyotangazwa Alhamisi Smith alisema uteuzi wa mwaka huu ulizingatia "wamarekani wenye mamlaka" na kwa hilo , "kwa kiwango kikubwa , Hollywood ilibuni sura ya kufikirika ya uzuru".

Alipoangalia orodha nzima iliyojaa wazungu pekee walioteuliwa kuwania ushindi wa Oscars, aliendelea kusema, "haikuonyesha dhahiri uzuri huo ."

Baadhi walitarajia Smith, mtu alieteuliwa mara mbili kwa tuzo hilo, kuorodheshwa tena ,kwa filamu ya Concussion ambapo alicheza kama daktari aliechunguza majeraha ya kichwa ya wachezaji soka wa Marekani.

Comments

Popular posts from this blog

TAZAMA PICHA 30 ZA MREMBO AGNES MASOGANGE AKIJIACHIA KISTAA NJE YA NCHI

Gamboshi: Makao Makuu ya Uchawi na Wachawi yaliyopo Shinyanga, Tanzania

14 parties want Parliament to discuss Zanzibar impasse