Ujauzito wa Wema Sepetu Waanza Kuonekana..Team Wema Sepetu Wafurahia

Ujauzito wa Wema Sepetu Waanza Kuonekana..Team Wema Sepetu Wafurahia

Ujauzito wa Staa na Mrembo wa Bongo Asiyeishiwa na Skendo hatimae waanza kuonekana wazi wazi kitu ambacho kimewafurahisha Team Wema Sepetu baada ya boss huyo wao kushutumiwa kuwa ni mgumba kwa muda mrefu...
Hapa ninekuwekea picha ujionee:

Comments

Popular posts from this blog

Gamboshi: Makao Makuu ya Uchawi na Wachawi yaliyopo Shinyanga, Tanzania

Simon Msuva: Kiba anaitendea haki Tanzania