Maajabu..Mwanamke Akutwa Chini ya Shimo la Choo...Inasemekana Aliwekwa Kama Msukule..Samahani kwa Picha

http://nyota5.blogspot.com/
Picha hizi Zinasambaa Mtandaoni hasa Instagram zikimuonyesha Mwanamke akiwa hivyo

Inasemekana Mwanamke huyo amekutwa ndani ya chemba (sewage) ya Mkazi/Mfanyabiashara Mchagga wa Kibamba aliyejulikana kwa jina la Mtei. Amefikaje? Haikufahamika ila walisikika wananchi wakisema ni msukule.dunia ina mambo hii duuuuu

Tunafatilia Habari Kamili kisa cha huyo dada kuishi ndani ya Shimo la choo..
    
                                         KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPO CHINI

Comments

Popular posts from this blog

TAZAMA PICHA 30 ZA MREMBO AGNES MASOGANGE AKIJIACHIA KISTAA NJE YA NCHI

Gamboshi: Makao Makuu ya Uchawi na Wachawi yaliyopo Shinyanga, Tanzania

14 parties want Parliament to discuss Zanzibar impasse