Iran imepuuzilia mbali vikwazo vipya dhidi yake ilivyowekewa na Marekani kuhusu mpango wake wa kutengeza makombora.



Vikwazo hivyo havina 'uhalali wa kisheria wala wa kimaadili',msemaji wa wizara ya maswala ya kigeni amesema.

Mnamo mwezi Oktoba ,Iran ililifanyia jaribio kombora lake lililo na uwezo wa kubeba kichwa cha kombora la nuklia,ikikiuka marufuku ya Umoja wa mataifa.

Hatua hiyo ya Marekani inajiri baada ya vikwazo ilivyowekewa Iran kuondolewa kufuatia mkataba wa mpango wake wa nuklia.

Vikwazo hivyo vipya vitawazuia watu na makampuni 11 wanaohusishwa na mpango huo wa kutengeza makombora kutotumia mfumo wa benki wa Marekani.

Comments

Popular posts from this blog

TAZAMA PICHA 30 ZA MREMBO AGNES MASOGANGE AKIJIACHIA KISTAA NJE YA NCHI

Gamboshi: Makao Makuu ya Uchawi na Wachawi yaliyopo Shinyanga, Tanzania

14 parties want Parliament to discuss Zanzibar impasse