BAADA YA DIAMOND KUJIITA SIMBA, HUYU HAPA MWINGINE AIBUKA

Baada ya DIAMOND PLATNUMZ Kujiita Simba yaliibuka mengi kuhusu suala hilo nakufikia hatua kubwa ya kuzua mjadala  ya juu ni nani mmiliki wa jina hilo? kati ya Diamond Platnumz, Mr Blue na Afande Sele.tupendane-800x445

Sekeseke hilo la jina la Simba limehamia nchini Kenya baada ya msanii mahiri nchini humo kuanza kujiita jina hilo, kupitia ukurasa wake wa Instagram Willy Paul ameweka picha na kuandika neno Simba, jambo lililozua mjadala wadau mbalimbali wa muziki.12534096_942901609135210_1101957755_n

Comments

Popular posts from this blog

TAZAMA PICHA 30 ZA MREMBO AGNES MASOGANGE AKIJIACHIA KISTAA NJE YA NCHI

Gamboshi: Makao Makuu ya Uchawi na Wachawi yaliyopo Shinyanga, Tanzania

14 parties want Parliament to discuss Zanzibar impasse