nspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu amelifumua Jeshi la Polisi nchini kwa kupanga na kupangua vigogo wake, huku baadhi wakipandishwa nyadhifa....
TAZAMA PICHA 30 ZA MREMBO AGNES MASOGANGE AKIJIACHIA KISTAA NJE YA NCHI One cannot tell if two Nigerian music stars are now sharing the same girl on bed going by reports making the rounds. This question is coming after there were indications that Davido and Tekno may be sleeping with the same lady. In November, the Omo Baba Olowo crooner had fun with some girls on his birthday and one of them was Agnes Masogange. She was even rumoured recently to be carrying Davido’s second child, but that was swiftly dispelled. Interestingly, not too long ago, Agnes started posting and deleting clues that she was having an affair with Tekno, allegedly spending time with him in his South Africa hotel room. Tekno posted similar ones with him alone in them, which made his fans conclude that he is dating the girl. But this has made the singer to delete all the clues from his page.
KIJIJI CHA GAMBOSHI 'MAKAO MAKUU YA UCHAWI NA WACHAWI' NI MKOA WA SHINYANGA. USIKU YAONEKANA KAMA JIJI LA NEW YORK AU LONDON.WENYEWE WAMWOMBA RAIS KIKWETE, MZEE WA VIJISENTI AKAWASAFISHE. Gari linalokokotwa na ng'ombe katika barabara ya kuelekea kijijini Gamboshi. WAKAZI wa Kijiji cha Gamboshi, kilichopo wilayani Bariadi, Mkoa wa Shinyanga, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasaidie kusafisha kijiji chao kutokana na jina baya lililoenezwa duniani kwamba hapo ni makao makuu ya maovu ya uchawi ulioshindikana. Kijiji hicho ambacho ni nadra sana kutembelewa, kimepata umaaurufu mkubwa ndani na nje ya nchi kikielezwa kuwa ni kitovu cha uchawi na wachawi wanaoweza kufanya miujuza, hali ambayo imekifanya kijiji hicho kupitwa na mkondo wa kimaendeleo. “Sisi ni wakulima wakarimu wa pamba, mahindi na mpunga. Yote mnayoyasikia kwamba sisi ni magwiji wa uchawi ni uvumi uliotiwa chumvi nyingi.Tunamwomba Rais wetu kwakushirikiana na Mbunge wetu,And...
Mwenyekiti wa Kamati wa Uchunguzi wa Tukio la uvamizi wa kituo cha Habari cha Clouds Televisheni, Deodatus Balile ametishiwa maisha na kudukuliwa mawasiliana. Balile kwenye akaunti yake ya Facebook, ametanabaisha mbinu zilizokuwa zikitumiwa na watu wenye nia ovu naye kwa kudukua mawasiliano yake. Balile ameleeza kuwa mawasiliano hayo yaliingiliwa mpaka kwenye shughuli za Ofisi Balile pia ni Mkuregenzi Mtendaji wa Gazeti la Jamhuri "Juzi mawasiliano ya ofisini kwetu yalidukuliwa. Makala inayopaswa kusomwa kesho, waliojiteua kuwa wasaidizi wa aliyetaka nimwombe radhi kwa kufanya kazi niliyotumwa mchana kweupe, wametamba kuwa wanafuatilia maisha yangu hadi uvunguni mwa kitanda changu" amesema Balile. Nimeona nisali kwa sauti sala hii, ili nikipotea, hawa wasaidie kutoa majibu nilipo. Nimeambatanisha baadhi ya meseji zao za udukuzi kwangu.
Comments
Post a Comment