JIANDAE NA HILI>>>> BARAKA DA PRINCE, JAY MOE KUJA NA KOLABO MATATA


Msanii anayefanya vyema na wimbo wa Nivumilie alioshirikiana na Rubby, Baraka Da Prince, kupitia ukurasa wake wa Instagram ameweka picha akiwa studio na wakongwe wa muziki nchini akiwemo mtayarishaji wa muziki P Funk Majani wa Bongo Record na Jay Moe


Katika picha hiyo Baraka Da Prince aliandika ujumbe wa kuashiria kuwa wamerekodi wimbo, hivyo hivyo kwenye ukurasa wa msanii Jay Moe ameweka picha wakiwa pamoja na kusifia alichokifanya Baraka Da Prince katika wimbo huo ambao hawajabainisha ni upi, jambo lililopelekea mashabiki kusifu hatua hiyo.

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

Gamboshi: Makao Makuu ya Uchawi na Wachawi yaliyopo Shinyanga, Tanzania

TAZAMA PICHA 30 ZA MREMBO AGNES MASOGANGE AKIJIACHIA KISTAA NJE YA NCHI

Simon Msuva: Kiba anaitendea haki Tanzania